Lipeni Madeni Kuepuka Aibu Kama Hizi | Comedy

0
Jamaa aliazimishwa pesa lakini yeye akaitumia kwa starehe zake binafsi😂

Leo kakutana na mwenye pesa yake tazama alichomwambia mpaka kufikia kushikana mashati

Kifupi jamaa alikuwa mlevi na mpenda mademu sasa kakopeshwa kumbe shida yake kuhonga😂
Sasa leo kakutana na mdai acha kiumane😂

Toa maoni kwa watoa video hizi ili wapate nguvu ya kuendelea kukupa kazi nzuri

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)