Walifika eneo walilokuwa wamekusudia kwa mjibu wa mpiga picha alipoona panafaa na wakaanza kuchukua matukio huku wale wadada wakibadilishana
Akichukua matukio huyu yule mwenzake anaenda sehemu ambayo waliona ingefaa kubadilishia mavazi
Sasa kizazaa kinaanzia katika eneo hilo la kubadilishia nguo
Ningependa nikusimulie lakini kwanini nikusumbue kusoma hapa wakati mkasa mzima upo ndani ya filamu hii na ukiwa ndio mwanzo kabisa wa filamu hii ya kusisimua
Naomba nikupe video hapa chini ili utazame mwenyewe kilichoendelea katika eneo hilo