![](https://img.youtube.com/vi/esuDCvODqM8/maxresdefault.jpg)
Rafiki yake kuona hivyo akaamua kuhamishia mawazo ya binti kwake
Yeye akazidisha na chumbi kwenye zile sifa alizoeleza rafiki yake huku akimsema vibaya rafiki yake
Mabinti nao huwa hawakatai ikisemwa pesa hivyo jamaa akabeba mzigo akimuacha jamaa yake analalamika tu😂