Penzi la Usaliti | Full Swahili Movie

0
Mariam aliishi maisha ya shida akijishughulisha na kilimo na ndipo siku moja alipigiwa simu ya kazi katika ofisi ya Uchakataji wa Samaki

Philipo alikuwa kijana masikini akijishughulisha na shughuli za kuuza mkaa, naye alipeleka CV zake katika ofisi ya AMCOS na kwa bahati nzuri akapata kazi

Kabla ya Philipo kupata kazi alipendwa na Mariam na kuishi pamoja mpaka alipofanikiwa kupata kazi kwa mgongo Mariam

Baada Philipo kupata ajira kwa msaada wa mkewe alijisahau na kuanza kumsaliti mkewe
Mke alienda ofisini kutoa taarifa za tabia za mume wake iliyosababisha Philipo kuachishwa kazi

Mariam alichoshwa na tabia za mume wake akaenda kwa mganga lakini hakuzitumia akapata wazo la kumrudia na kumuomba mwenyezi Mungu ambaye alijibu maombi kwa wakati

Nakukaribisha utazame filamu hii yenye kusisimua na mafundisho kwa jamii
Nakuomba usiache hata kulik, weka pia maoni yako kuhusu filamu hii, kikubwa zaidi ili usipitwe na filamu zijazo bonyeza Subscribe kama bado haujajiunga

Ahsanteni sana kwa sapoti yenu

Chapisha Maoni

0Maoni
Chapisha Maoni (0)